Zoezi la kutembelea shule za msingi mkoani Lindi.

LANGO kupitia Mradi wa Kupinga ukatili wa kijinsia na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake na vijana, limefanya zoezi la ugawaji wa vifaa vya kunawia mikono katika shule za msingi 7 na shule za sekondari 2 zilizopo katika kata za Mbanja na Mchinga wilayani Lindi ikiwa ni katika kuunga mkono jitihada za serikali na wadau wengine  za kupambana na Virusi vya Korona.

 



4 Comments

Leave a Reply