Mkurugenzi wa Shirika la LANGO akigawa vitendea kazi kwa maana ya vifaa vya kutumia wakati wa kulima zao la mwani kwa vikundi 6 vya Wanawake na Vijana wanaojishughulisha na kilimo cha Mwani katika kata ya Mchinga Wilaya ya Lindi . Lengo kubwa lilikuwa kuwezesha kuongeza uzalisahaji na kujikwamua kiuchumi @Oxfam Tanzania @langotanzani.
Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani
Categories:
2 thoughts on “Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani”
Leave a Reply Cancel reply
Related Post
ZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBARZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBAR
Wakulima wa zao la mwani kutoka Lindi na Mtwara wakifuatilia kwa makini mafunzo nadharia yaliyokua yakiendelea Katika kuendelea kutekeleza mradi wa Kuimarisha Usawa wa Kijinsia na Kuwezesha Kiuchumi Wanawake na
Happy Womens day to all Ladies across the worldHappy Womens day to all Ladies across the world
On the day like this (8 February ) we humble Our humanity and give respect to all women in each corner of the word we live in, each country ,
WANANCHI KUJENGEWA UWEZO WA KUWEZA KUTAMBUA, KUCHAMBUA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO WENYEWEWANANCHI KUJENGEWA UWEZO WA KUWEZA KUTAMBUA, KUCHAMBUA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO WENYEWE
Shirika la LANGO kwa kushirikiana na shirika la TWAWEZA East Africa limefanya mkutano na viongozi wa halmashauli ya Mtama, na viongozi wa vijiji vya Halmashauri ya Mtama kutambulisha programu mpya
Hello my family member! I wish to say that this article is awesome, great written and include approximately all vital infos. I would like to see more posts like this. Cathee Claus Ros
Thanks