Mkurugenzi wa Shirika la LANGO akigawa vitendea kazi kwa maana ya vifaa vya kutumia wakati wa kulima zao la mwani kwa vikundi 6 vya Wanawake na Vijana wanaojishughulisha na kilimo cha Mwani katika kata ya Mchinga Wilaya ya Lindi . Lengo kubwa lilikuwa kuwezesha kuongeza uzalisahaji na kujikwamua kiuchumi @Oxfam Tanzania @langotanzani.
Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani
Categories:
2 thoughts on “Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani”
Leave a Reply Cancel reply
Related Post
Mafunzo ya Uraghibishi Wilayani RuangwaMafunzo ya Uraghibishi Wilayani Ruangwa
Washiriki kutoka kata za Chunyu, Matambalale na Mbekenyera wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi wakiwa katika mafunzo ya Uraghbishi yaliyoandaliwa na kutekelezwa na LANGO kwa ufadhili wa @Open Society Initiative for
WADAU WA ZAO LA MWANI WAKUTANA KATIKA JUKWAA MOJAWADAU WA ZAO LA MWANI WAKUTANA KATIKA JUKWAA MOJA
Shirika la LANGO kwa ufadhili wa shirika la OXFAM Tanzania limeandaa jukwaa lililowakutanisha wadau mbalimbali wa zao la mwani ikiwemo wakulima, makampuni yawanunuzi, pamoja na Watendaji wa serikali ambao ni
ZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBARZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBAR
Wakulima wa zao la mwani kutoka Lindi na Mtwara wakifuatilia kwa makini mafunzo nadharia yaliyokua yakiendelea Katika kuendelea kutekeleza mradi wa Kuimarisha Usawa wa Kijinsia na Kuwezesha Kiuchumi Wanawake na
Hello my family member! I wish to say that this article is awesome, great written and include approximately all vital infos. I would like to see more posts like this. Cathee Claus Ros
Thanks