Washiriki kutoka kata za Chunyu, Matambalale na Mbekenyera wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi wakiwa katika mafunzo ya Uraghbishi yaliyoandaliwa na kutekelezwa na LANGO kwa ufadhili wa @Open Society Initiative for Eastern African (OSIEA).
Mafunzo ya Uraghibishi Wilayani Ruangwa
Categories:
Related Post
WAKAZI WA LINDI WATAHADHARISHWA KUEPUKA MATAPELIWAKAZI WA LINDI WATAHADHARISHWA KUEPUKA MATAPELI
Wakazi wa mkoa wa Lindi hususani wanaokaa kuzunguka mradi wa kuchakata gesi wa LNG, uliopo katika kata ya Mbaja katika Manispaa ya Lindi wapewa onyo kuepuka matapeli wanaochangisha wananchi hao
Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwaniUgawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani
Mkurugenzi wa Shirika la LANGO akigawa vitendea kazi kwa maana ya vifaa vya kutumia wakati wa kulima zao la mwani kwa vikundi 6 vya Wanawake na Vijana wanaojishughulisha na kilimo