Mkurugenzi wa Shirika la LANGO akigawa vitendea kazi kwa maana ya vifaa vya kutumia wakati wa kulima zao la mwani kwa vikundi 6 vya Wanawake na Vijana wanaojishughulisha na kilimo cha Mwani katika kata ya Mchinga Wilaya ya Lindi . Lengo kubwa lilikuwa kuwezesha kuongeza uzalisahaji na kujikwamua kiuchumi @Oxfam Tanzania @langotanzani.
Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani
Categories:
2 thoughts on “Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani”
Leave a Reply Cancel reply
Related Post
#WorldEnviromentDay#WorldEnviromentDay
Shirika la LANGO linaungana na dunia kuadhimisha siku ya Mazingira duniani. Kila mmoja anao wajibu wa kutunza pamoja na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kulingana kauli
WANANCHI KUJENGEWA UWEZO WA KUWEZA KUTAMBUA, KUCHAMBUA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO WENYEWEWANANCHI KUJENGEWA UWEZO WA KUWEZA KUTAMBUA, KUCHAMBUA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO WENYEWE
Shirika la LANGO kwa kushirikiana na shirika la TWAWEZA East Africa limefanya mkutano na viongozi wa halmashauli ya Mtama, na viongozi wa vijiji vya Halmashauri ya Mtama kutambulisha programu mpya
SERIKALI YA LINDI KUWEKA MIKAKATI THABITI JUU YA UJIO WA MRADI WA GESI WA LGNSERIKALI YA LINDI KUWEKA MIKAKATI THABITI JUU YA UJIO WA MRADI WA GESI WA LGN
Meya wa Lindi, Frank Magari amesema serikali mkoani humo imeazimia kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu katika fursa za uwekezaji zitakazoambata na ujio wa mradi mkubwa wa kuchakata gesi asilia wa LNG
Hello my family member! I wish to say that this article is awesome, great written and include approximately all vital infos. I would like to see more posts like this. Cathee Claus Ros
Thanks