Mkurugenzi wa Shirika la LANGO akigawa vitendea kazi kwa maana ya vifaa vya kutumia wakati wa kulima zao la mwani kwa vikundi 6 vya Wanawake na Vijana wanaojishughulisha na kilimo cha Mwani katika kata ya Mchinga Wilaya ya Lindi . Lengo kubwa lilikuwa kuwezesha kuongeza uzalisahaji na kujikwamua kiuchumi @Oxfam Tanzania @langotanzani.
Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani
Categories:
2 thoughts on “Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani”
Leave a Reply Cancel reply
Related Post
ZOEZI LA UFUATILIAJI WA MAENDELEO YA VIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANIZOEZI LA UFUATILIAJI WA MAENDELEO YA VIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANI
Shirika la LANGO limefanya ziara ya kukagua mashamba ya vikundi vya wakulima wa mwani katika Kata ya Mchinga Manispaa ya Lindi kwa lengo la kutathimini maendeleo ya shughuli zinazofanywa na

Mafunzo ya kuwajengea uwezo wakulima wa mwani.Mafunzo ya kuwajengea uwezo wakulima wa mwani.
Mkurugenzi wa Shirika la LANGO pichani Mr Michle Mwanga alisema haya katika mafunzo ya kuwajengea uwezo wakulima wa mwani. ” Tusifanye uzalishaji kwa mazoea tu
Mafunzo ya Uraghibishi Wilayani RuangwaMafunzo ya Uraghibishi Wilayani Ruangwa
Washiriki kutoka kata za Chunyu, Matambalale na Mbekenyera wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi wakiwa katika mafunzo ya Uraghbishi yaliyoandaliwa na kutekelezwa na LANGO kwa ufadhili wa @Open Society Initiative for
Hello my family member! I wish to say that this article is awesome, great written and include approximately all vital infos. I would like to see more posts like this. Cathee Claus Ros
Thanks