Mkurugenzi wa Shirika la LANGO akigawa vitendea kazi kwa maana ya vifaa vya kutumia wakati wa kulima zao la mwani kwa vikundi 6 vya Wanawake na Vijana wanaojishughulisha na kilimo cha Mwani katika kata ya Mchinga Wilaya ya Lindi . Lengo kubwa lilikuwa kuwezesha kuongeza uzalisahaji na kujikwamua kiuchumi @Oxfam Tanzania @langotanzani.
Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani
Categories:
2 thoughts on “Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani”
Leave a Reply Cancel reply
Related Post
VIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANI MCHINGA KUUNDA USHIRIKAVIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANI MCHINGA KUUNDA USHIRIKA
Maamuzi hayo ya kuunda ushirika wa Mwani kata ya Mchinga yameafikiwa katika kikao kilichowakutanisha vikundi vya zamani na vikundi vipya vya wakulima wa mwani katika kata ya Mchinga Manispaa ya
#WorldEnviromentDay#WorldEnviromentDay
Shirika la LANGO linaungana na dunia kuadhimisha siku ya Mazingira duniani. Kila mmoja anao wajibu wa kutunza pamoja na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kulingana kauli
UGAWAJI WA ZANA ZA KUZALISHIA ZAO LA MWANIUGAWAJI WA ZANA ZA KUZALISHIA ZAO LA MWANI
Shirika la LANGO kwa ufadhili wa shirika la OXFAM Tanzania limegawa zana za kuzalishia zao la mwani katika kata ya Mchinga Manispaa ya Lindi kwa lengo la kuboresha uzalishaji na
Hello my family member! I wish to say that this article is awesome, great written and include approximately all vital infos. I would like to see more posts like this. Cathee Claus Ros
Thanks