Washiriki kutoka kata za Chunyu, Matambalale na Mbekenyera wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi wakiwa katika mafunzo ya Uraghbishi yaliyoandaliwa na kutekelezwa na LANGO kwa ufadhili wa @Open Society Initiative for Eastern African (OSIEA).
Mafunzo ya Uraghibishi Wilayani Ruangwa
Categories:
Related Post
ZOEZI LA UFUATILIAJI WA MAENDELEO YA VIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANIZOEZI LA UFUATILIAJI WA MAENDELEO YA VIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANI
Shirika la LANGO limefanya ziara ya kukagua mashamba ya vikundi vya wakulima wa mwani katika Kata ya Mchinga Manispaa ya Lindi kwa lengo la kutathimini maendeleo ya shughuli zinazofanywa na

Shirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawakeShirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawake
Shirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawake na vijana vilivyopo katika kata ya Mbaja na Mchinga ambavyo vipo kwenye mradi wa “Kuimarisha Usawa wa Kijinsia na
Ugawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwaniUgawaji wa vitendea kazi kwa vikundi 6 vya wakulima wa mwani
Mkurugenzi wa Shirika la LANGO akigawa vitendea kazi kwa maana ya vifaa vya kutumia wakati wa kulima zao la mwani kwa vikundi 6 vya Wanawake na Vijana wanaojishughulisha na kilimo