Kikao kati ya Waraghibishi kutoka Mbanja Lindi na Songosongo-kilichofanyika kata ya Songosongo kwa lengo la kubadilisha uzoefu , mafanikio , changamoto na namna bora jamii inaweza kuendeleza uchechemuzi katika sekta ya uziduaji.
KIKAO KATI YA WARAGHIBISHI

Categories:
Related Post
UTAMBUZI WA WARAGHBISHIUTAMBUZI WA WARAGHBISHI
Katika kuanza utekelezaji wa mradi wa Uraghbishi, LANGO kwa ufadhili wa shirika la TWAWEZA East Africa, limesimamia shughuli za kutambulisha mradi kwa wanajamii wa vijiji vinavyoguswa na mradi huo pamoja
VICE PRESIDENT (MAKAMU WA RAIS AWAMU YA SITA)VICE PRESIDENT (MAKAMU WA RAIS AWAMU YA SITA)
Shirika la LANGO, tuna toa Pongenzi kwa Mheshimiwa Dr Philip Mpango alie kuwa Waziri wa Fedha kwa Kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kila
WAKAZI WA LINDI WATAHADHARISHWA KUEPUKA MATAPELIWAKAZI WA LINDI WATAHADHARISHWA KUEPUKA MATAPELI
Wakazi wa mkoa wa Lindi hususani wanaokaa kuzunguka mradi wa kuchakata gesi wa LNG, uliopo katika kata ya Mbaja katika Manispaa ya Lindi wapewa onyo kuepuka matapeli wanaochangisha wananchi hao