Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi asilia kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, walipokutana kwa pamoja Manispaa ya Lindi (Sea View Beach Resort) na kujadili Masuala ya tasnia hiyo ikiwemo mradi wa uchakati Gesi asilia (LNG), Tozo ya Huduma na Uwajibikaji wa makampuni kwa jamii (CSRs). Jukwa hili limetekelezwa kwa ushirikiano kati ya Mashirika ya Oxfam Tanzania, MSOAPO-Mtwara na LANGO.
Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi Asilia

Categories:
Related Post

FURAHA YA MKULIMA NI MAVUNOFURAHA YA MKULIMA NI MAVUNO
Katika kuelekea kufikia lengo la kuimarisha na kuinua uchumi wa wanake na vijana wanaolima zao la Mwani , kikundi cha NAMIHODI MWISHO pamoja na kikundi cha MUUNGANO

Shirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawakeShirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawake
Shirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawake na vijana vilivyopo katika kata ya Mbaja na Mchinga ambavyo vipo kwenye mradi wa “Kuimarisha Usawa wa Kijinsia na