Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mita kwa WANAWAKE walioshinda na waliochaguliwa kushiriki katika mchakato mzima wa uchaguzi mwaka 2019, wakieleza mafanikio, changamoto na namna ya walivyozitatua changamoto hizo walizopitia wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 yaliofanyika Lindi Mjini katika ukumbi wa Chama cha Walimu
Kikao cha Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa wanawake.

Categories:
Related Post
WADAU WA MRADI WA GESI WA LNG NA BOMBA LA MAFUTA LA EACOP KATIKA MEZA MOJAWADAU WA MRADI WA GESI WA LNG NA BOMBA LA MAFUTA LA EACOP KATIKA MEZA MOJA
Shirika la LANGO kwa ufadhili wa shirika la OXFAM International limefanya ziara ya mafunzo jijini Tanga kwenye mradi wa bomba la mafuta la EACOP. Ziara hiyo imeshirikisha wadau wa mradi
ZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBARZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBAR
Wakulima wa zao la mwani kutoka Lindi na Mtwara wakifuatilia kwa makini mafunzo nadharia yaliyokua yakiendelea Katika kuendelea kutekeleza mradi wa Kuimarisha Usawa wa Kijinsia na Kuwezesha Kiuchumi Wanawake na
SERIKALI YA LINDI KUWEKA MIKAKATI THABITI JUU YA UJIO WA MRADI WA GESI WA LGNSERIKALI YA LINDI KUWEKA MIKAKATI THABITI JUU YA UJIO WA MRADI WA GESI WA LGN
Meya wa Lindi, Frank Magari amesema serikali mkoani humo imeazimia kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu katika fursa za uwekezaji zitakazoambata na ujio wa mradi mkubwa wa kuchakata gesi asilia wa LNG