Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mita kwa WANAWAKE walioshinda na waliochaguliwa kushiriki katika mchakato mzima wa uchaguzi mwaka 2019, wakieleza mafanikio, changamoto na namna ya walivyozitatua changamoto hizo walizopitia wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 yaliofanyika Lindi Mjini katika ukumbi wa Chama cha Walimu
Kikao cha Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa wanawake.

Categories:
Related Post
INTRODUCTORY MEETINGINTRODUCTORY MEETING
LANGO staffs held a Project Introductory meeting with key stakeholders explaining on project Objectives and how its going be Implemented in Ruangwa District. The project aimed at creating awareness

Zoezi la kutembelea shule za msingi mkoani Lindi.Zoezi la kutembelea shule za msingi mkoani Lindi.
LANGO kupitia Mradi wa Kupinga ukatili wa kijinsia na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake na vijana, limefanya zoezi la ugawaji wa vifaa vya kunawia mikono katika shule za msingi 7
Mafunzo ya Uraghibishi Wilayani RuangwaMafunzo ya Uraghibishi Wilayani Ruangwa
Washiriki kutoka kata za Chunyu, Matambalale na Mbekenyera wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi wakiwa katika mafunzo ya Uraghbishi yaliyoandaliwa na kutekelezwa na LANGO kwa ufadhili wa @Open Society Initiative for