Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mita kwa WANAWAKE walioshinda na waliochaguliwa kushiriki katika mchakato mzima wa uchaguzi mwaka 2019, wakieleza mafanikio, changamoto na namna ya walivyozitatua changamoto hizo walizopitia wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 yaliofanyika Lindi Mjini katika ukumbi wa Chama cha Walimu
Kikao cha Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa wanawake.

Categories:
Related Post
Happy Womens day to all Ladies across the worldHappy Womens day to all Ladies across the world
On the day like this (8 February ) we humble Our humanity and give respect to all women in each corner of the word we live in, each country ,
WAKAZI WA LINDI WATAHADHARISHWA KUEPUKA MATAPELIWAKAZI WA LINDI WATAHADHARISHWA KUEPUKA MATAPELI
Wakazi wa mkoa wa Lindi hususani wanaokaa kuzunguka mradi wa kuchakata gesi wa LNG, uliopo katika kata ya Mbaja katika Manispaa ya Lindi wapewa onyo kuepuka matapeli wanaochangisha wananchi hao
UTAMBUZI WA WARAGHBISHIUTAMBUZI WA WARAGHBISHI
Katika kuanza utekelezaji wa mradi wa Uraghbishi, LANGO kwa ufadhili wa shirika la TWAWEZA East Africa, limesimamia shughuli za kutambulisha mradi kwa wanajamii wa vijiji vinavyoguswa na mradi huo pamoja