Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi asilia kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, walipokutana kwa pamoja Manispaa ya Lindi (Sea View Beach Resort) na kujadili Masuala ya tasnia hiyo ikiwemo mradi wa uchakati Gesi asilia (LNG), Tozo ya Huduma na Uwajibikaji wa makampuni kwa jamii (CSRs). Jukwa hili limetekelezwa kwa ushirikiano kati ya Mashirika ya Oxfam Tanzania, MSOAPO-Mtwara na LANGO.
Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi Asilia

Categories:
Related Post
UGAWAJI WA ZANA ZA KUZALISHIA ZAO LA MWANIUGAWAJI WA ZANA ZA KUZALISHIA ZAO LA MWANI
Shirika la LANGO kwa ufadhili wa shirika la OXFAM Tanzania limegawa zana za kuzalishia zao la mwani katika kata ya Mchinga Manispaa ya Lindi kwa lengo la kuboresha uzalishaji na
ZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBARZIARA YA WAKULIMA WA MWANI LINDI NA MTWARA KWENDA ZANZIBAR
Wakulima wa zao la mwani kutoka Lindi na Mtwara wakifuatilia kwa makini mafunzo nadharia yaliyokua yakiendelea Katika kuendelea kutekeleza mradi wa Kuimarisha Usawa wa Kijinsia na Kuwezesha Kiuchumi Wanawake na
UTAMBUZI WA WARAGHIBISHI KATA ZA RUANGWAUTAMBUZI WA WARAGHIBISHI KATA ZA RUANGWA
Kupitia mradi wa Kuimarisha Ushiriki wa Wananchi, Uwazi na Uwajibikaji katika Usimamizi wa Tozo ya Huduma kutoka Sekta ya Madini na Gesi Asilia. LANGO Imefanya utambuzi wa waraghibishi katika