Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mita kwa WANAWAKE walioshinda na waliochaguliwa kushiriki katika mchakato mzima wa uchaguzi mwaka 2019, wakieleza mafanikio, changamoto na namna ya walivyozitatua changamoto hizo walizopitia wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 yaliofanyika Lindi Mjini katika ukumbi wa Chama cha Walimu
Kikao cha Mrejesho wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa wanawake.

Categories:
Related Post

KIKAO KATI YA WARAGHIBISHIKIKAO KATI YA WARAGHIBISHI
Kikao kati ya Waraghibishi kutoka Mbanja Lindi na Songosongo-kilichofanyika kata ya Songosongo kwa lengo la kubadilisha uzoefu , mafanikio , changamoto na namna bora jamii inaweza kuendeleza uchechemuzi katika sekta
VIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANI MCHINGA KUUNDA USHIRIKAVIKUNDI VYA WAKULIMA WA MWANI MCHINGA KUUNDA USHIRIKA
Maamuzi hayo ya kuunda ushirika wa Mwani kata ya Mchinga yameafikiwa katika kikao kilichowakutanisha vikundi vya zamani na vikundi vipya vya wakulima wa mwani katika kata ya Mchinga Manispaa ya
WADAU WA MRADI WA GESI WA LNG NA BOMBA LA MAFUTA LA EACOP KATIKA MEZA MOJAWADAU WA MRADI WA GESI WA LNG NA BOMBA LA MAFUTA LA EACOP KATIKA MEZA MOJA
Shirika la LANGO kwa ufadhili wa shirika la OXFAM International limefanya ziara ya mafunzo jijini Tanga kwenye mradi wa bomba la mafuta la EACOP. Ziara hiyo imeshirikisha wadau wa mradi