Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi asilia kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, walipokutana kwa pamoja Manispaa ya Lindi (Sea View Beach Resort) na kujadili Masuala ya tasnia hiyo ikiwemo mradi wa uchakati Gesi asilia (LNG), Tozo ya Huduma na Uwajibikaji wa makampuni kwa jamii (CSRs). Jukwa hili limetekelezwa kwa ushirikiano kati ya Mashirika ya Oxfam Tanzania, MSOAPO-Mtwara na LANGO.
Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi Asilia
Categories:
Related Post
KIKAO KATI YA WARAGHIBISHIKIKAO KATI YA WARAGHIBISHI
Kikao kati ya Waraghibishi kutoka Mbanja Lindi na Songosongo-kilichofanyika kata ya Songosongo kwa lengo la kubadilisha uzoefu , mafanikio , changamoto na namna bora jamii inaweza kuendeleza uchechemuzi katika sekta
UTAMBUZI WA WARAGHIBISHI KATA ZA RUANGWAUTAMBUZI WA WARAGHIBISHI KATA ZA RUANGWA
Kupitia mradi wa Kuimarisha Ushiriki wa Wananchi, Uwazi na Uwajibikaji katika Usimamizi wa Tozo ya Huduma kutoka Sekta ya Madini na Gesi Asilia. LANGO Imefanya utambuzi wa waraghibishi katika
Shirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawakeShirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawake
Shirika la LANGO limeisaidia kutoa Mbuzi kwa vikundi saba vya wanawake na vijana vilivyopo katika kata ya Mbaja na Mchinga ambavyo vipo kwenye mradi wa “Kuimarisha Usawa wa Kijinsia na
