Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi asilia kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, walipokutana kwa pamoja Manispaa ya Lindi (Sea View Beach Resort) na kujadili Masuala ya tasnia hiyo ikiwemo mradi wa uchakati Gesi asilia (LNG), Tozo ya Huduma na Uwajibikaji wa makampuni kwa jamii (CSRs). Jukwa hili limetekelezwa kwa ushirikiano kati ya Mashirika ya Oxfam Tanzania, MSOAPO-Mtwara na LANGO.
Jukwaa la wadau wa sekta ya uziduaji Gesi Asilia

Categories:
Related Post
Mafunzo ya Uraghibishi Wilayani RuangwaMafunzo ya Uraghibishi Wilayani Ruangwa
Washiriki kutoka kata za Chunyu, Matambalale na Mbekenyera wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi wakiwa katika mafunzo ya Uraghbishi yaliyoandaliwa na kutekelezwa na LANGO kwa ufadhili wa @Open Society Initiative for
SERIKALI YA LINDI KUWEKA MIKAKATI THABITI JUU YA UJIO WA MRADI WA GESI WA LGNSERIKALI YA LINDI KUWEKA MIKAKATI THABITI JUU YA UJIO WA MRADI WA GESI WA LGN
Meya wa Lindi, Frank Magari amesema serikali mkoani humo imeazimia kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu katika fursa za uwekezaji zitakazoambata na ujio wa mradi mkubwa wa kuchakata gesi asilia wa LNG

KIKAO KATI YA WARAGHIBISHIKIKAO KATI YA WARAGHIBISHI
Kikao kati ya Waraghibishi kutoka Mbanja Lindi na Songosongo-kilichofanyika kata ya Songosongo kwa lengo la kubadilisha uzoefu , mafanikio , changamoto na namna bora jamii inaweza kuendeleza uchechemuzi katika sekta