Lindi (Region) Association of Non Governmental Organizations (Lango)

KIKAO KATI YA WARAGHIBISHI

Kikao kati ya Waraghibishi kutoka Mbanja Lindi na Songosongo-kilichofanyika kata ya Songosongo kwa lengo la kubadilisha uzoefu , mafanikio , changamoto na namna bora jamii inaweza kuendeleza uchechemuzi katika sekta ya uziduaji.